Historia ya muziki wa injili
Je umewahi kusikia wimbo ambao umekutoa sehemu
ulipo na unataka kuwaeleza rafiki zako kuhusiana na hicho ulichokisikiliza? Vizuri
hii ni aina ya hisia uliyowahi kuiskia kutoka kwenye nyimbo za injili. Kwa
uhalisia, neno Injili inamaanisha habari njema. Muziki wa injili ni moja ya
chombo bora cha usafiri ambacho uaminika
na wakristo katika kueneza injili kwa wasikilizaji ulimwenguni kote.
Muziki
huu ulichipuka katika tamaduni za
kitajiri katika makanisa ya kiafrika na
kimarekani kuanzia miaka ya 1800, Makanisa hayo yalioko huko umoja
wa Marekani kusini ya alianza kukusanyika katika mitindo mbalimbali ya muziki kwenye ibada
za kuabudu pamoja na kusifu
katika roho pamoja na nyimbo za zaburi. Aina ya muziki uliokuwa ukiimbwa awali
kanisani ulikuwa ukihusisha kupiga makofi na kucheza stepu.
Moyo wa utamaduni
wa muziki wa injili ulikuwa ukitumia kwaya. Kwaya za kanisa zilikuwa
zikiundwa na kundi la waimbaji ambao walikuwa wakijitolea kwa ajili ya kuabudu
kutoka ndani ya kanisa. Ilikuwa ni rahisi kutofautisha wanakwaya wa kikundi moja na kingine
kwasababu walikuwa na kawaida ya kuvaa sare ambazo zilikuwa zakipekee. Kwa
mfano kuna maigizo ambayo yamewahi kuigizwa kama wakaka wa bluu (Blues Brothers), matendo 2 ya dada (Sister
Act 2).
Aina ya muziki uliokuwa ukiimbwa na kwaya ulifata
muito na utekelezaji sambamba na kutumia tamaduni za nyimbo za zaburi
Mfumo wa utamaduni wa nyimbo za injili ulibadirika
miaka ya 1930 wakati Thomas A. Dorsey alianza kazi ya kutembelea makanisa ya ubatizo ndani ya mji wa Illinois
Chikago. Dorsey alikuwa mwanamziki maarufu wa zamani ambaye alifanya kazi na wachezaji
maarufu kama Ma Rainey na Hudson Tamp
Red Whitaker. Pia Dorsey alijikita zaidi katika masomo ya utamaduni wa nyimbo
za mziki wa injili za huzuni na rumba.
Huu ni mtindo mpya wa muziki unaojulikana kama injili ya huzuni(gospel blues),
ambao ulianza zamani. Lakini pia mwishoni mwa miaka ya 1930 aina hii ya muziki
ilichukua nafasi ya juu kama mfumo mpya wa utamaduni wa injili
Muziki wa injili
uliendelea kukua katika miaka ya 1930.
Kulikuwa na mitindo mikuu mnne ya muziki huu ambayo ni ; mtindo wa kikundi cha
watu wanne ,utamaduni wa injili,njia ya
injili ya kisasa,vilevile kusifu na
kuabudu .Injili ya mtindo wa vikundi vya
wanne ni moja yenye idadi ndogo ya
waimbaji wa kiume ambao wanaimba
mziki pamoja na amani .Tofauti kubwa kati ya injili ya utamaduni na injili ya kisasa ni
kwamba imeweka juhudi kubwa kwenye
uimbaji binafsi kwenye kikundi cha waimbaji. Waimbaji wengi wa
injili ya kisasa hawapendi kuimba kwenye
kwaya. Kusifu na kuabudu ni
mtindo mchanganyiko wa injili ya
kisasa na ya utamaduni ,kwenye kusifu
kiongozi ana kikundi kidogo kinacho saidia kwenye mkusanyiko wa watu kwenye
kuimba mziki wa injili.
Muziki wa injili umekua kwa sehemu kubwa sana
ukilinganisha na zaidi ya miaka miaka miambili iliyopita, tangu kuanza kwa muziki huu, kwani katika kipindi hiki kuna
waimbaji wengi tofauti na zamani.
Pi muziki huu umekuwa ni moja ya dhana inayotumiwa
na wasanii mbalimbali ulimwenguni katika
kueneza habari njema za Yesu Kristo, kumsifu Mungu,kuabudu pia kutoa jumbe
mbalimbali za maneno matakatifu ya Mungu.
Comments
Post a Comment